Osama na Viagra

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Feb 21, 2011
563
98
Katika repoti zinazoendelea kutoka kumuhusu Osama, moja inasema hivi "YAGUNDULIKA OSAMA ALIKUWA ANATUMIA VIAGRA KUIMARISHA UHUSIANO NA WAKE ZAKE".
Suali nililonalo juu ya hili, uhusiano unaweza kuimarika kwa muendelezo wa matumizi ya viagra?
 
Tendo la ndoa in muhimu sana katika kuimarisha ndoa. Kama tendo hili halifanyiki ipasavyo, husababisha uaminifu kupotea. Hivyo ndugu yetu Asama alilijua hilo na kwa kuwa alikuwa na wanawake wengi option pekee ilikuwa hiyo.
 
Has ukizingatia kuwa Osama alikuwa very busy na maswala ya kupigana na waislamu, it was obvious kwamba hakuwa na muda wa ku chat na wake zake. Hivyo basi, viagara is the best option, bear in mind that if you keep a dog, you must give what the dog eats!!!


nasikia hata Obacha alikufa akiwa na dose ya viagra........
 
Katika repoti zinazoendelea kutoka kumuhusu Osama, moja inasema hivi "YAGUNDULIKA OSAMA ALIKUWA ANATUMIA VIAGRA KUIMARISHA UHUSIANO NA WAKE ZAKE".
Suali nililonalo juu ya hili, uhusiano unaweza kuimarika kwa muendelezo wa matumizi ya viagra?


Mkwaruzo kweli umeamua... Perspective yangu Naona kama Viagra ilitengenezwa speacially kwa ajili ya watu wazima sana na wale wachache wadhaifu..kutokana na mapenzi (sex) kua ya muhimu sana katika mahusiano afya/hali za parts zinazohusika ni muhimu saana. Hata hivyo naona kama mwanaume anapo kua na tatizo la kushindwa kum command junior au anapokua na nguvu ndogo first stages ni bora kum consult mtaalam wa medicine na pia hata anaehusiana na mambo ya psychology... Hayo yakishindikana ndo nafikiri Viagra inachukua mkondo wake ... In the case of Osama (am not sure ni kweli alikua anatumia) inawezekana maana waarabu wanapenda sana kuprove kwa kwake zao kua wao ni lijali...

Ila warning ni kwa wale wanaume ambao naturaly kazaliwa kua hata ajitahidi namna gani yeye anaishia kucheza michezo miwili au mmoja, huo ni bora akatafuta a lady ambae nae ashiki yake iko low mana akiwa na the opposite ndo inapelekea kutumia V - na akitumia from a young age then unakuka kafika 45 mpaka afanikiwe kum command junior kaji overdose....
 
Mkwaruzo kweli umeamua... Perspective yangu Naona kama Viagra ilitengenezwa speacially kwa ajili ya watu wazima sana na wale wachache wadhaifu..kutokana na mapenzi (sex) kua ya muhimu sana katika mahusiano afya/hali za parts zinazohusika ni muhimu saana. Hata hivyo naona kama mwanaume anapo kua na tatizo la kushindwandogo first stages ni bora kum ctaalam wa madicine....

Origin ya viagra ni dawa ya kumuongezea mgonjwa mapigo ya moyo. Pale mtu anapoitumia, moyo hufanya kazi ya ziada ya kusukuma damu na kuiruhusu kufika kwa wingi kwa mzee mzima na kumfanya asimame. Hapo then ndiyo iliboreshwa kwaajili ya kusex.
Hivyo ndivyo ninavzojua mimi.
 
Origin ya viagra ni dawa ya kumuongezea mgonjwa mapigo ya moyo. Pale mtu anapoitumia, moyo hufanya kazi ya ziada ya kusukuma damu na kuiruhusu kufika kwa wingi kwa mzee mzima na kumfanya asimame. Hapo then ndiyo iliboreshwa kwaajili ya kusex.
Hivyo ndivyo ninavzojua mimi.

Mkwaruzo before zijazungumzia kitu hasa cha medical or science nacheki kwanza kama sijui, thread yako inahusu Viagra kuitumia katika sex hivyo niliona ni stick katika hilo - kungekua na umuhimu wa kugusia ni why ilitengeneza kwa mara ya kwanza believe me ningegusia hilo... Thread yako iko kutaka kujua nafasi ya V katika kuimarisha kwa uhusiano/ndoa... Na nashanga kua it is your thread na wewe ni a guy ambae najua juu ya hili unatambua kuliko hata mimi... I was hoping ungeniambia wapi nimekosea na wapi nirekebishe ili nipate ujuzi zaida na infor zaidi katika the whole issue ya V katika sex na mahusiano....
 
Mkwaruzo before zijazungumzia kitu hasa cha medical or science nacheki kwanza kama sijui, thread yako inahusu Viagra kuitumia katika sex hivyo niliona ni stick katika hilo - kungekua na umuhimu wa kugusia ni why ilitengeneza kwa mara ya kwanza believe me ningegusia hilo... Thread yako iko kutaka kujua nafasi ya V katika kuimarisha kwa uhusiano/ndoa... Na nashanga kua it is your thread na wewe ni a guy ambae najua juu ya hili unatambua kuliko hata mimi... I was hoping ungeniambia wapi nimekosea na wapi nirekebishe ili nipate ujuzi zaida na infor zaidi katika the whole issue ya V katika sex na mahusiano....
mh, sawa nimetoka nje ya point.
Ni wazi kuwa msafiri ni yule aliye bandarini.
Kwa wale wanaoekeana masharti ya kutumia condom kila wanapofanya sex, sometimez hujikuta haiwezekani kwasababu tu ya kutokuwa nazo.
Sasa tukirejea ktk V, ni wazi kuwa mtu hawezi kuwa na dawa 24 7, hivyo sijuwi huwo uimara utatokea wapi ktk mapenzi iwapo nyenzo husika baadhi ya muda inakosekana.
 
Has ukizingatia kuwa Osama alikuwa very busy na maswala ya kupigana na waislamu, it was obvious kwamba hakuwa na muda wa ku chat na wake zake. Hivyo basi, viagara is the best option, bear in mind that if you keep a dog, you must give what the dog eats!!!


nasikia hata Obacha alikufa akiwa na dose ya viagra........

Ni kweli lakini hawa watu wqaongo na wanafki sana! Wanakata mdomoni lakini moyoni wako kinyume sana, pia ni wafiraji wakibwa duniani wakisingizia kiwa na imani kali! Unafiki mtupu
 
Back
Top Bottom