Katika repoti zinazoendelea kutoka kumuhusu Osama, moja inasema hivi "YAGUNDULIKA OSAMA ALIKUWA ANATUMIA VIAGRA KUIMARISHA UHUSIANO NA WAKE ZAKE".
Suali nililonalo juu ya hili, uhusiano unaweza kuimarika kwa muendelezo wa matumizi ya viagra?
Mkwaruzo kweli umeamua... Perspective yangu Naona kama Viagra ilitengenezwa speacially kwa ajili ya watu wazima sana na wale wachache wadhaifu..kutokana na mapenzi (sex) kua ya muhimu sana katika mahusiano afya/hali za parts zinazohusika ni muhimu saana. Hata hivyo naona kama mwanaume anapo kua na tatizo la kushindwandogo first stages ni bora kum ctaalam wa madicine....
Origin ya viagra ni dawa ya kumuongezea mgonjwa mapigo ya moyo. Pale mtu anapoitumia, moyo hufanya kazi ya ziada ya kusukuma damu na kuiruhusu kufika kwa wingi kwa mzee mzima na kumfanya asimame. Hapo then ndiyo iliboreshwa kwaajili ya kusex.
Hivyo ndivyo ninavzojua mimi.
mh, sawa nimetoka nje ya point.Mkwaruzo before zijazungumzia kitu hasa cha medical or science nacheki kwanza kama sijui, thread yako inahusu Viagra kuitumia katika sex hivyo niliona ni stick katika hilo - kungekua na umuhimu wa kugusia ni why ilitengeneza kwa mara ya kwanza believe me ningegusia hilo... Thread yako iko kutaka kujua nafasi ya V katika kuimarisha kwa uhusiano/ndoa... Na nashanga kua it is your thread na wewe ni a guy ambae najua juu ya hili unatambua kuliko hata mimi... I was hoping ungeniambia wapi nimekosea na wapi nirekebishe ili nipate ujuzi zaida na infor zaidi katika the whole issue ya V katika sex na mahusiano....
mambo ya ngono bwana, mtu yuko bize na ugaidi unaweza dhani hafanyagi
Has ukizingatia kuwa Osama alikuwa very busy na maswala ya kupigana na waislamu, it was obvious kwamba hakuwa na muda wa ku chat na wake zake. Hivyo basi, viagara is the best option, bear in mind that if you keep a dog, you must give what the dog eats!!!
nasikia hata Obacha alikufa akiwa na dose ya viagra........