hahahaha watatoa nyingi tu lakini tusubiri footage nyingine ya Osama june Eid el Haji
hahahaha watatoa nyingi tu lakini tusubiri footage nyingine ya Osama june Eid el Haji
Hiyo picha ni ya kutoka kwenye movie ya Blackhawk Down.
hayawe, ila kundi lake limethibitisha kwamba jamaa kauliwa na makomandoo wa US, kuna thread international forum nazani inaweza kukusaidia.
Sasa wewe ndio umeandika nini? Tunazungumzia authenticity ya picha wewe unaleta mambo ya sijui kundi lake limekubali, umeambiwa nimebisha kuwa hajafa? Simply hiyo picha ya Osama imekuwa photoshopped kutoka kwenye picha ya kwenye movie ya Blackhawk Down, angalia chini hapo.hayawe, ila kundi lake limethibitisha kwamba jamaa kauliwa na makomandoo wa US, kuna thread international forum nazani inaweza kukusaidia.
0sama died nearly 10 years ago on kidney related deases..u.s.a wakakausha ili wazidi kushambulia afghanstan na iraq..nao mission accomplished wanatuleta upuuzi huu..ndo mana george bush akataa mwaliko cuz ukweli wote anaujua.
Source yako ni ipi nasi tufuatilie?!
Endela kujipa moyo wakati mzoga wa osama una-undergo digestion kwenye matumbo ya samaki wa baharini. Kama osama ni shujaa wenu badi huo ndiyo mwisho wa hadithi.
Sasa wewe ndio umeandika nini? Tunazungumzia authenticity ya picha wewe unaleta mambo ya sijui kundi lake limekubali, umeambiwa nimebisha kuwa hajafa? Simply hiyo picha ya Osama imekuwa photoshopped kutoka kwenye picha ya kwenye movie ya Blackhawk Down, angalia chini hapo.