Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Je kufa kwake kutasaidia kupunguza chuki kati ya waislamu na western countries au itaongeza?
Kwa aina yoyote ya kifo ambacho atakuwa kafa, au kwa muda wowote (wa kuuawa)whether ni siku za nyuma au leo au jana, bado hii ni News inayokuwa broken kwa mara ya kwanza leo na US, LAKINI kubwa zaidi ni kwamba America ndio wanaumiliki mwili wake kwa muda huu!!.. Hivyo dunia ikae mkao wa alert, maana iam afraid wafuasi wake wanaweza kufanya chochote kuonyesha kuwa hata kama jamaa amefariki, kundi la Alqaeda bado lipo!...So check-out!..Wanaweza kuzaliwa Osamas 50 zaidi.hata mimi najiuliza, inawezekana Osama alishakufa kitambo kwa ugonjwa wake, au kafa kifo cha kawaida. lakini kwa kuwa Marekani sasa inatafuta namna ya kuondoka Afghanistan gracefully, kwa sababu ni dhahiri ile vita imegeuka kuwa liability kwao !. ukizingatia Taliban wametangaza kuspeed up mashambulizi, hawa jamaa wanaweza kustage up hii kitu ili waondoke Afghanistan peacefully!.
Sasa hapo Obama kwa nini apewe credit? Yeye ndo alihatarisha maisha yake kumuwinda Osama huko Islamabad?
Siasa saa ingine bana.....kazi afanye mwingine ujiko achukue mwingine. So Very unfair!!!!
Mwalimu alipopewa credit ya kumwondoa nduli Idi Amin naye alienda frontlines kupigana?Mbona haya ni mambo ya kawaida sana tu.Credit anapewa kwasababu wakati wanafanya move zote huwa wana mbrief na hiyo ni daily,halafu yeye huwa ndo anatoa a go ahead in any mission FYI.Kabla ya kumwua,if kulikuwa na family members lazima aliulizwa kuhus a goa ahead,Obama anatangaza hapa sasa hivi kuwa an opearation has been successful.Sasa hapo Obama kwa nini apewe credit? Yeye ndo alihatarisha maisha yake kumuwinda Osama huko Islamabad?
Siasa saa ingine bana.....kazi afanye mwingine ujiko achukue mwingine. So Very unfair!!!!
Unfortunately siasa iko hivyo
Kwa hiyo hii ni kazi ya Obama au vipi??Ingekuwa raha sana wangempata mzima kama Sadam Hussen