Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Wakuuu mimi Sioni Orodha ya watu walio pona LOLIONDO sasa au computer yangu haioneshi????????????
Wakuuu mimi Sioni Orodha ya watu walio pona LOLIONDO sasa au computer yangu haioneshi????????????
Ushauri wa bure kwa Mods:
Jaribuni kupunguza uwingi wa hizi posts za Babu na Loliondo,
Ni hilo tu.
CCM imepona kwa dawa za babu maana mambo ya DOWANS, MAANDAMANO na nini sijui.... yamepungua.
Baada ya kutumia kikombe ameanza kuona mabadiliko na alikuwa ameathirika na VVU
na wewe ni walewale mabadiliko yapi?amezidiwa au amepona?vipimo vinasemaje?
Mmea anaotumia babu kutibu, umekuwepo kwa miaka mingi na unapatikana sehemu nyingi tu duniani hii ni kwa mujibu wa daktari