Orodha ya WATAKAOUAWA

Wale Wote wasifanya kazi wanachojua ni kushinda bar kukopa bia huku wakisubiri washkaji waje kuwalewesha,Mademu wote wanaopenda kuchuna alikuwa anakunywa pepsi ukifika anaagizia Savana!! pumbafu,,,Wambea wote na wanafiki bila kuwasahau Machangudoa,Na mwisho kabisa ni kwa wale wanaojijua kabisa wameathirika kwa Ukimwi lakini wanasambaza kwa makusudi.
 
1. Mafisadi wote na wahujumu wa nchi
2. Wanasiasa wanaopandikiza sera za chuki za udini
3. Maafisa ardhi wanaouza eneo moja la ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja
4. Manesi, wauguzi na madaktari wenye roho mbaya ambao wako tayari kutoa uhai
wa mgonjwa kwa sababu hajawapa hela ya chai.
5. Watendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani wanaouza mitihani na kuivujisha.
6. Polisi wanaosingizia watu na kuwabambikiza makosa mbalimbali ya uongo.
7. Endeleza orodha hii
Mnafki TUNDU LISU
Yule Anayejiita Shangazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mafisadi wote na wahujumu wa nchi
2. Wanasiasa wanaopandikiza sera za chuki za udini
3. Maafisa ardhi wanaouza eneo moja la ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja
4. Manesi, wauguzi na madaktari wenye roho mbaya ambao wako tayari kutoa uhai
wa mgonjwa kwa sababu hajawapa hela ya chai.
5. Watendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani wanaouza mitihani na kuivujisha.
6. Polisi wanaosingizia watu na kuwabambikiza makosa mbalimbali ya uongo.
7. Endeleza orodha hii
Wewe mbona haupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom