Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
1. Mafisadi wote na wahujumu wa nchi
2. Wanasiasa wanaopandikiza sera za chuki za udini
3. Maafisa ardhi wanaouza eneo moja la ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja
4. Manesi, wauguzi na madaktari wenye roho mbaya ambao wako tayari kutoa uhai
wa mgonjwa kwa sababu hajawapa hela ya chai.
5. Watendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani wanaouza mitihani na kuivujisha.
6. Polisi wanaosingizia watu na kuwabambikiza makosa mbalimbali ya uongo.
7. Endeleza orodha hii
2. Wanasiasa wanaopandikiza sera za chuki za udini
3. Maafisa ardhi wanaouza eneo moja la ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja
4. Manesi, wauguzi na madaktari wenye roho mbaya ambao wako tayari kutoa uhai
wa mgonjwa kwa sababu hajawapa hela ya chai.
5. Watendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani wanaouza mitihani na kuivujisha.
6. Polisi wanaosingizia watu na kuwabambikiza makosa mbalimbali ya uongo.
7. Endeleza orodha hii