Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
anataka kufunika kashfa ya rushwa inayowakabili siyo. Asuburi kwanza tuone mwisho ya hii episode ya rushwa ndani ya bunge, Kashfa ambayo na yeye ni mtuhumiwa , asitufanye wajinga.
Wababaishaji utawajua tu kwa kauli zao.