Iliripotiwa kuwa Mbunge wa Ubungo, J. J. Mnyika ataanza leo jumatatu kukusanya saini za Wabunge ili kuwezesha kuwasilisha hoja binafsi ya dharura kuhusu marekebisho ya sheria ya hifadhi ya Jamii. Tunaomba kwa kupitia uzi huu tupate majina ya Wabunge hao kwa kadri watakavyokuwa wakiongezeka.
Hii itatusaidia kuwafahamu Wabunge wenye uchungu na wananchi na wale ambao wanajali maslahi yao binafsi.
Pia kwa kupitia uzi huu tutaweza kufanya mkakati wa kuwafuta kazi bila kujali ni wa chama gani. Tafadhali kama una namba ya mbunge wako mtwangie mara moja kusaini kwa Mnyika. Muda wa kulalamika umekwisha sasa ni vitendo tu.
List ni kama ifuatavyo:
1. John Mnyika (CHADEMA) - Ubungo - Mtoa hoja
2. .............................
3. .....................................
Hii itatusaidia kuwafahamu Wabunge wenye uchungu na wananchi na wale ambao wanajali maslahi yao binafsi.
Pia kwa kupitia uzi huu tutaweza kufanya mkakati wa kuwafuta kazi bila kujali ni wa chama gani. Tafadhali kama una namba ya mbunge wako mtwangie mara moja kusaini kwa Mnyika. Muda wa kulalamika umekwisha sasa ni vitendo tu.
List ni kama ifuatavyo:
1. John Mnyika (CHADEMA) - Ubungo - Mtoa hoja
2. .............................
3. .....................................