Huyu ni machachari kwa EO,CIS au EPA?5. ra - ukimgusa mbingu na nchi vinakushukia
Zitto Kabwe humtaki?Tuwaorodheshe,mimi naanza:-
1.Dr.Slaa
2.Ole Sendeka
3.Selelii
4.Anna Kilango
5.
6.
7.
Endelea..................
Jaksoni makweta
Sawa muongeze kwe orodha kwani mimi nilianza tu nawe endelea.Zitto Kabwe humtaki?
5. Zitto KabweTuwaorodheshe,mimi naanza:-
1.Dr.Slaa
2.Ole Sendeka
3.Selelii
4.Anna Kilango
5.
6.
7.
Endelea..................
Mbunge machachari kwa sasa ni mh. mama mbunge wa Nkenge akifuatiwa ni Zungu anaewania uspika kipindi kijacho.
Mi namkumbuka mmoja alifariki kwa ajal ya bus alikuwa anatoka kagera,nlikuwa nikimskia naacha shughul zote naskiliza anachosema,bahati mbaya jina nimelisahahu pamoja na wangwe! R.i.p wote wawil tena kwa ajali