mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Ikiwa imebakia takribani miaka mitatu kujichukulia kilicho chao , wapo wabunge wengi waliojifanya kushindana na mkuu wa kaya kwa kutaja orodha ndefu na ahadi hewa/feki , mpaka leo hawajazitekeleza majimboni mwao na hawana habari nazo tena.
Ninayo kumbukumbu kidogo ya wabunge wa Dar na mikoani kidogo
1. Hassani Zungu MB Ilala, huyu kachemka kabisa, Machinga Complex imemshinda, DDC K/Koo hapo ndio kaharibu kabisa, kuna rushwa za ajabu, wenye nchi wanafukuzwa wakuja wachina na wasomali ndio wamechukua fremu za maduka kwa bei ghali.
2. Idd Azan MB: wa Kinondoni, huyu anakatisha tamaa kabisa eneo lake ndio uti wa ngongo wa madawa ya kulevya, uchangudoa. na Jimbo lake linaongoza kwa rushwa, wahamiaji haramu wa kikongo na Rwanda Brundi. Wamewafanya vijana kuiga tabia mbaya ya kuendekeza pombe na kuomba omba.
3. Mbunge wa Kisawe huyu wageni wawekezaji ndio wamejificha huko wakijitwalia maekali eti wanawekeza na ndio jimbo la kwanza kuwa na umaskini.
4. Mbunge Kagasheki wa BK Mjini, huyu kalewa sifa kasahau kwao, Manispaa inanuka kwa uchafu , pake standi utadhani sio mji wa bukoba ulisifika kwa usafi enzi za Ruangisa.
5. Mbunge wa Mleba Kasikazini Prof. Tiba, huyu ndio kajisahau kabisa, kaenda kupambana na matajiri wa jiji kurudisha viwanja wazi kumbe kapambana naserikali yenyewe sasa kanyamazishwa, nae kafanya shule ya watoto yatima kuwa ya matajiri naye kuna kiporo.
6. Mbunge Edward Lowasa, huyu atasemi mengi sana maana mengi yashasemwa, kawafanya wamasai watoke shambani wakimbilie mjini kutafuta ajira wakati hawana shule, yeye angali kutoa mamillion kwenye makanisa huku kwao mifugo ikifa kwa kukosa maji, mpaka mkuu kariona kaenda kupoza, eti anataka urais!!
7. Mbunge wa Dodoma Rusinde, umeshindwa kufanya ushawishi kuufanya dodoma liwe jiji ili uwarudishe omba omba wote wanaoteseka pale faya na bibi titi ukafuata nyayo za Malecela!!
8. Halima Mdee, wewe bado una kiporo cha kunyamazia watu wanaonyanyasika na ardhi yao.
9. Andrew Chenge, wewe wananchi wanakaribia kukusahau kabisa utelekeza miradi mingi sana , shule za bariadi zianfelisha sana
Wengine waongezee tupate orodha ndefu
Ninayo kumbukumbu kidogo ya wabunge wa Dar na mikoani kidogo
1. Hassani Zungu MB Ilala, huyu kachemka kabisa, Machinga Complex imemshinda, DDC K/Koo hapo ndio kaharibu kabisa, kuna rushwa za ajabu, wenye nchi wanafukuzwa wakuja wachina na wasomali ndio wamechukua fremu za maduka kwa bei ghali.
2. Idd Azan MB: wa Kinondoni, huyu anakatisha tamaa kabisa eneo lake ndio uti wa ngongo wa madawa ya kulevya, uchangudoa. na Jimbo lake linaongoza kwa rushwa, wahamiaji haramu wa kikongo na Rwanda Brundi. Wamewafanya vijana kuiga tabia mbaya ya kuendekeza pombe na kuomba omba.
3. Mbunge wa Kisawe huyu wageni wawekezaji ndio wamejificha huko wakijitwalia maekali eti wanawekeza na ndio jimbo la kwanza kuwa na umaskini.
4. Mbunge Kagasheki wa BK Mjini, huyu kalewa sifa kasahau kwao, Manispaa inanuka kwa uchafu , pake standi utadhani sio mji wa bukoba ulisifika kwa usafi enzi za Ruangisa.
5. Mbunge wa Mleba Kasikazini Prof. Tiba, huyu ndio kajisahau kabisa, kaenda kupambana na matajiri wa jiji kurudisha viwanja wazi kumbe kapambana naserikali yenyewe sasa kanyamazishwa, nae kafanya shule ya watoto yatima kuwa ya matajiri naye kuna kiporo.
6. Mbunge Edward Lowasa, huyu atasemi mengi sana maana mengi yashasemwa, kawafanya wamasai watoke shambani wakimbilie mjini kutafuta ajira wakati hawana shule, yeye angali kutoa mamillion kwenye makanisa huku kwao mifugo ikifa kwa kukosa maji, mpaka mkuu kariona kaenda kupoza, eti anataka urais!!
7. Mbunge wa Dodoma Rusinde, umeshindwa kufanya ushawishi kuufanya dodoma liwe jiji ili uwarudishe omba omba wote wanaoteseka pale faya na bibi titi ukafuata nyayo za Malecela!!
8. Halima Mdee, wewe bado una kiporo cha kunyamazia watu wanaonyanyasika na ardhi yao.
9. Andrew Chenge, wewe wananchi wanakaribia kukusahau kabisa utelekeza miradi mingi sana , shule za bariadi zianfelisha sana
Wengine waongezee tupate orodha ndefu