Kwa hiyo wanaongea lugha za makabila yao pia??
Yep!!
n
Na ukifika huko UK mkuu lugha ya kiingereza unayoongea wewe na mimi ni ile "the Queens english".Mara nyingi wale wasio English wanashangaa sana inakuwaje mtu mweusi anazungumza kiingereza cha kisomi!!!
Lugha zao hizi hapa:
List of the languages of the British Isles
The British Isles has 12 native languages of which 2 have been revived in the last 100 years, Cornish & Manx. There are the celtic languages of Wales, Ireland & Scotland along with the Romance languages of the Channel Islands.
There are also 4 extinct languages of the British Isles;
- English
- Scots in Scotland and Ulster
- Irish Gaelic
- Welsh
- Scottish Gaelic
- Cornish
- Manx Gaelic
- Jersey Legal French
- Jèrriais
- Guernésiais
- Sercquiais
Mkuu nawakilisha.
To me hizo tofauti ni lahaja tu (Accent) kwani hutofautiana zaii katika matamshi ya maneno (pronounciation) zaidi kuliko miundo ya sentensi na maana, hivyo huwezi kuziita lugha tofauti isipokuwa lahaja, ila Scottish accent, na Irish accent zimatofauti kubwa na "Queens English". kwa mfano Scottish ni nzito compared to Queens English