Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,249
- 5,312
Bodi ya mikopo elimu ya juu imetoa majina ya waombaji mkopo ambao fomu zao zina makosa mbali mbali ikiwemo kukosekana kwa picha ya mwombaji,sahihi,mihuri na kadhalika
Kuyapata majina tembelea website ya bodi http://heslb.go.tz
Kuyapata majina tembelea website ya bodi http://heslb.go.tz