Mussa Loth
Member
- Apr 13, 2012
- 10
- 3
Kutokana na mfumo wa nchi hii, wa kuwa ni nchi isiyo na dini lakini watu wake wanadini, na kwamba nikiamini kuwa madaktari karibu wote watakuwa waumini wa dini na madhehebu mbalimbali. Hii inanipa fursa ya kutaka kufahamu kama ni waumini wazuri katika dini zao, kwani hofu yangu ipo katika maeneo yafuatayo;
1.kama watakuwa ni waumini wazuri, kushiriki kuwatesa na kuwasababishia vifo watu wasio na hatia, huku wakifahamu wazi kwamba ni dhambi kutenda matendo kama hayo.
2.Kama kweli ni waumini na wanamwamini mwenyezi Mungu, wao huenda kutubia madhambi gani?
3.Kama wanaishi kwenye jamii ya watanzania na endapo patatokea kifo au msiba unaotokana na mgomo wao, je watashiriki mazishi?
4.Je madaktari hawa tunawahitaji katika dini zetu na madhehebu yatu? akiwa jirani yako ungependa ahame?
5. Je,Tatizo ni kwamba kipato wanachopata kwasasa kinaweza kuwasababishia kifo madaktari ndio maana wanajihami kabla hawajafa na kwamba hakuna njia nyingine wanayoweza kuitumia zaidi ya kuwatesa wananchi na kuwaua ili nawao waweze kuishi.
6.Inavyoonekana wadaktari hawa hawajasoma au kusomeshwa na kodi za wananchi wanaowatesa sasa na kuwauwa, hivyo wanataka kurejeshewa gharaza zao walizotumia wakati wanasoma vyuo.
7.Kwamba kutokana na mateso na vifo vitakavyo tokana na mgomo wao, manufaa na maisha bora yatapatikana na hivyo kuifunza serikali sikunyingine wasiwachezee tena kwani wananchi watakuwa wamekiona chamoto.
8.Kwamba wao hakuzaliwa katika hospitali za watanzania na hawakuhudumiwa na madaktari na wahudumu wengine wa afya, hivyo haiwahusu kuhusiana na maisha ya wananchi wengine.
9.Walimu na watumishi wengine si wamuhimu sana kwani wao wamejifundisha taaluma hizo kwa juhudi zao binafsi, hivyo hakuna haja ya kuangalia uwianao wa kimaslahi,na pia si msingi mkubwa wala sababu ya wao kutopata maisha mazuri.
10.Kuwafunza na kuwapa uzoefu wale wote wanaotaka kusoma basi wachague kuwa madaktari kwani wanaogopwa sana, na wakati unasoma unapewa fedha kama grant 100% na sio mkopo kama wanafunzi wengine
Kutokana na sababu nilizoainisha hapo juu,madaktari kufanya mgomo inapaswa waungwe mkono?njia wanayotumia ni sahii?
MUSSA -0763623082
1.kama watakuwa ni waumini wazuri, kushiriki kuwatesa na kuwasababishia vifo watu wasio na hatia, huku wakifahamu wazi kwamba ni dhambi kutenda matendo kama hayo.
2.Kama kweli ni waumini na wanamwamini mwenyezi Mungu, wao huenda kutubia madhambi gani?
3.Kama wanaishi kwenye jamii ya watanzania na endapo patatokea kifo au msiba unaotokana na mgomo wao, je watashiriki mazishi?
4.Je madaktari hawa tunawahitaji katika dini zetu na madhehebu yatu? akiwa jirani yako ungependa ahame?
5. Je,Tatizo ni kwamba kipato wanachopata kwasasa kinaweza kuwasababishia kifo madaktari ndio maana wanajihami kabla hawajafa na kwamba hakuna njia nyingine wanayoweza kuitumia zaidi ya kuwatesa wananchi na kuwaua ili nawao waweze kuishi.
6.Inavyoonekana wadaktari hawa hawajasoma au kusomeshwa na kodi za wananchi wanaowatesa sasa na kuwauwa, hivyo wanataka kurejeshewa gharaza zao walizotumia wakati wanasoma vyuo.
7.Kwamba kutokana na mateso na vifo vitakavyo tokana na mgomo wao, manufaa na maisha bora yatapatikana na hivyo kuifunza serikali sikunyingine wasiwachezee tena kwani wananchi watakuwa wamekiona chamoto.
8.Kwamba wao hakuzaliwa katika hospitali za watanzania na hawakuhudumiwa na madaktari na wahudumu wengine wa afya, hivyo haiwahusu kuhusiana na maisha ya wananchi wengine.
9.Walimu na watumishi wengine si wamuhimu sana kwani wao wamejifundisha taaluma hizo kwa juhudi zao binafsi, hivyo hakuna haja ya kuangalia uwianao wa kimaslahi,na pia si msingi mkubwa wala sababu ya wao kutopata maisha mazuri.
10.Kuwafunza na kuwapa uzoefu wale wote wanaotaka kusoma basi wachague kuwa madaktari kwani wanaogopwa sana, na wakati unasoma unapewa fedha kama grant 100% na sio mkopo kama wanafunzi wengine
Kutokana na sababu nilizoainisha hapo juu,madaktari kufanya mgomo inapaswa waungwe mkono?njia wanayotumia ni sahii?
MUSSA -0763623082