Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
nataka mjue kwamba zitatekelezeka tena bila wasiwasi,wapinzani kazi yenu ni kelele tu hamana hoja ya msingi,tukizungumzia maendeleo sio kitu cha kufumba na kufumbua ....naomba mlijue hilo, SLAA JAPO WEWE NI KIJAKAZI WA CHADEMA , coz najua wewe ni mtu wa YES na NO ndani ya CHADEMA, unadanganya wananchi kwa kujivalisha ngozi ya ufisadi wakati ndani ya chadema wewe ni YES na NO, ulipoambiwa uwafukeze wale vijana wawili KAFULILA NA MWENZAKE ulitekeleza bila kupinga
SLAA WAAMBIE WANANCHI NA WANACHADEMA WENZIO KILICHOKUFANYA UKAMUACHA MKEO....................sitanii najua A 2 Z yako katika chadema ,toa SERA ZA CHAMA CHAKO NA SIO UNAPIGA POROJO ZA UFISADI,AMBAZO NDANI YA CCM ZIMEANZA KUSHUGHULIKIWA NA ZITAENDELEA KUSHUGHULIKIWA mpaka kitaeleweka.
CCM inasera zinazotekelezeka sio kwa porojo za maneno BALI KWA VITENDO. hili amelithibitisha kijana wako ZITTO KWABWE NDANI YA BUNGE LILILOKWISHA ,akimsifia MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI KWAMBA NI MTU MUUNGWANA..., AU BADO SLAA UNAPINGA NA HILO? wapinzani mtaelimika lini? kuachana na SERA ZA CHUKI? NA UKABILA, nasema ukabila kwa nguvu zote kwani jinsi mbinu ya kummaliza ZITTO KABWE ilivyotengenezwa sio ya kitoto...... inatisha ! KAMA NA HILO CHADEMA MNABISHA BISHENI LAKINI UKWELI NDIO HUO.
Karibu JF njuka.....halafu utuambie umelipwa shilingui ngapi kuweka bango lako hapa?