nadhani hapa panchanganya kidogo, rais kutoa amri wakati wa kampeni na kutumia pesa ya serikali kwa kmpeni hili sioni sawa.
lakini kuhusu mipango ya serikali mimi nadhani ilani ya chama kinacho tawala ndio mipango ya nchi, pia rais kulindwa mimi sioni tatizo.
pengine tatizo ni katiba haijaweka sawa mambo ya rais kipindi cha kampeni
lakini kuhusu mipango ya serikali mimi nadhani ilani ya chama kinacho tawala ndio mipango ya nchi, pia rais kulindwa mimi sioni tatizo.
pengine tatizo ni katiba haijaweka sawa mambo ya rais kipindi cha kampeni