Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
wakuu moto huo nimeupenda unavyo wachoma Wazee wa mabwepande msituni,gambazz safari hii chamoto watakiona,CDM makao makuu mmetusahau huku Kahama-shinyanga tunataka M4C watu wavue magamba wanasema yanawasababishia ukurutu.
Hongereni sana Chadema