Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Je ni wafuasi CDM ndiyo wanaowachukia hawa vijana? Mi naona kama kiwango chao ni kizuri na ni wabunifu.
Je wewe mtizamo wako ni upi? Tuache siasa!
Je wewe mtizamo wako ni upi? Tuache siasa!
Kwa mtizamo wangi ni kwamba vijana kipaji wanacho cha ubunifu. Maana ni rahisi kuwaelewa wanachoongelea, hata kama umetoka kazini umechoka.kwani wanachukiwa????
Au kuna ujumbe unataka kuufikisha?