Kweli umenena, vituko show ya ch10 ni nomaaa, na mizengwe wanaburudisha sana!!
ukweli mtupu umesema,Hata Tembo akonde vp hawez kuwa kama swala n' viceversa.Original Comedy wamefulia ndio but bado ni wakali sana ukicompare na Futuhi na Ze comedy(me hawajaniconvice kwakweli).kikund ambacho naona kweli wanachekesha kuliko hata original comedy ni MIZENGWE na kile cha kina majuto ingawa watu wengi hawavifuatilii
ipo star tv kweli?????SIO MWANZA????
MIZENGWE wanaburudisha sana, sema watu hawawafuatilii sana.
Kama sio mdororo wa afya ya Msanii mwenzao, nadhani wangefunga kipindi. Sasa wanahangaika na kuchangisha fedha za Sajuki (maskini kijana wa watu ugonjwa wake umekuwa ni suala la Kitaifa) kila Mtu anataka ajue japo kuna wanaougua wengi ambao nao wangehitaji kuchangiwa na watanzania wenzao. Sajuki amemfunika hata VENGU (JOSEPH SHAMBA) comedian mwanzao ambae haikuwa kusikika Masanja akihamasisha watu kumchangia. Khaaa dunia hii!
kweli mzeeVituko show chanel ten funika bovu wanatisha wako juu ile mbaya na hawaigi mtu
Hakuna Atakaye Bisha Kuwa Kikundi Cha Uchekeshaji Cha Orijino Komedi Kimejizolea Umaarufu Hapa Nchin Pia Walikuwa Wakifanya Vizuri Sana Na Staili Zao Za Kuigiza Viongoz Lakin Tangu Wameamia Kule Kwenye Chanel Ya Baba Ridh Jamaa Wameanza Kushuka Kisanaa Pia Kutoa Segment Ya Kuigiza Nyimbo Za Wasanii Kumechangia Wao Kupoteza Radha Iliyokuwepo.hivi Karibun Kilicho Kuwa Kina Wabeba Ni Ile Sehemu Ya Copy&paste Sasa Naona Kama Haipo.jamaa Wana Vipaji Ila Wajipange Wale Wenzao Wa Jiran Eatv Wana Anza Kuwapiga Bao So Wajipange Warudi Mi Ni No 1 Fan Wao