GM7
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 492
- 24
Kumekuwa na maneno mengi kuhusu kundi hili hasa pale TBC1 wanavyorudiarudia vipindi vya nyuma toka tuuanze mwaka 2012 na hakuna kipindi kipya kilichorushwa. Wapo wanaosema mkataba wao umekwisha.
Je, kuna mwenye habari kamili kuhusu hawa jamaa mara nasikia wamekuwa Ma-MC kwenye sherehe mbalimbali hapo bongo. Nawasilisha
http://api.ning.com/files/2awh6HXUrdeDD0Zag3r9s1BmgkS-*4zV8QlnxAc8Ss70tRPIiKzZhKEBxTih4XhDqsj22fmhXFGazodNH7RviI7KfCbddYzm/KOMEDI.jpg
Je, kuna mwenye habari kamili kuhusu hawa jamaa mara nasikia wamekuwa Ma-MC kwenye sherehe mbalimbali hapo bongo. Nawasilisha
http://api.ning.com/files/2awh6HXUrdeDD0Zag3r9s1BmgkS-*4zV8QlnxAc8Ss70tRPIiKzZhKEBxTih4XhDqsj22fmhXFGazodNH7RviI7KfCbddYzm/KOMEDI.jpg