MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Kwa upuuzi huu mkataba wao ukiisha TBC ni vigumu sana kufanya kazi na TV nyingine kwani wao tayari ni akina Komba wa miaka ijayo kizazi cha nyoka. Wafanyiwe counselling kuelezwa madhara ya mchezo wanaocheza na wajue kwamba wanakula mtaji ambao ni kuwachekesha waTZ na siyo kuwashabikia CCM.