Kikwete si alienda kumuona, ina maana anafurahi kuona bado hajapatiwa matibabu?
Nasikia ana jipu kwenye ubongo, sijui ni kweli?
Nimesikia tbc wanasema saiz amepata nafuu kiasi na kikwete ndo analipia gharama zote.
Ni kweli ni zuri, wasi wasi wangu ni je huu ushauri utawafikia? Jf kuna memba wengi na naamini wapo ambao wanaweza kuwafikia akina masanja na kuwafikishia hili wazo....ningewashauri wafanye hivyo na mungu atawabariki..wazo nzuri sana,heri wangefuata huo ushauri