Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
Kwa wale mnaofuatilia mchezo wa kuchekesha wa Orijino Komedi unaorushwa na TBC1 kituo kinachoendeshwa na kodi zenu wa TZ mtaona kabisa kundi hili sasa linapoteza mwelekeo na kuwa chombo cha kusifia na kutetea maslahi ya kundi fulani.
Hili kundi sasa linaboa, limekuwa silaha ya kundi la mafisadi.
Hebu tuangalie kuinuka na kuanguka kwa kundi hili na nini wakifanye kwa maslahi yao ya baadae ukiachana na hali yao ya sasa 'Mtumikie kafiri upate mradi wako"
Hili kundi sasa linaboa, limekuwa silaha ya kundi la mafisadi.
Hebu tuangalie kuinuka na kuanguka kwa kundi hili na nini wakifanye kwa maslahi yao ya baadae ukiachana na hali yao ya sasa 'Mtumikie kafiri upate mradi wako"