Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
waje arumeru pesa imeshamwagwa mwigulu nchemba yupo hapa.
Hakuna jambo la hovyo walilofanya kama kumtukana Mzee Mengi hili lilinifanya niwaone kama wanawake wa Bar.
mkuu natumaini hapa uliteleza kidogo
Dhambi inayowatafuna ni ile ya kuwasaliti wazalendo na kuendekeza njaa kiasi cha kuanza kulamba makalio ya CCM!
Waende Clouds TV.Mimi
nasema watu wote walioipigia kampeni au wanaendelea kuipigia chapuo CCM
lazima laana iwaangukie.The original komedi wanavuna walichopanda,na
kwa kweli hawa jamaa watafulia mpaka aibu..sijui watakimbilia
wapi.Walidanganywa na Manji na vihela vya msimu.Laana ya kuwapigia
kampeni CCM inawala na itawala sana.
Hawakujua kwamba ulikuwa mpango wa manji wa kumuudhi Mengi kupitia kwao na Yanga Afrika, Mwenzao katimiza lengo lake sasa wote kawatema kama big G.watajuta kunyea kambi ya mzee mengi,wamrudie tu mzee wao yule ndio aliyewatoa atawasamehe,otherwise waende kwa manji awape kazi ya kuchekesha wateja pale nje kwenye mall yake pale nyerere road quality
Hawakujua kwamba ulikuwa mpango wa manji wa kumuudhi Mengi kupitia kwao na Yanga Afrika, Mwenzao katimiza lengo lake sasa wote kawatema kama big G.
CCM hapa inaingia vipi? Hawa wanatumiwa tu kama waburudishaji, na hamna sehemu yoyote ambao wameshawahi kusema wao ni CCM. CDM pia ikiwahitaji kwenye kampen zao hawa zecomedy hawawezi kukataa cuz hawana mkataba na CCM!
Chamuhimu hapa jadilini hatma ya hawa vijana na siyo kuingiza mambo ya CCM hapa
Mzee Mengi ndio mlezi wao kisanii toka waanze sanaa za kwenye runinga, swala la wao kumtukana na kumdhalilisha baada ya kumpata Manji ni dhambi mbele ya Mungu na malipo yake ni hapahapa duniani.
Mzee Ngongo taratibu...! sio kila mwanamke wa bar ni wa hovyo. Ile ni kazi kama kazi nyingine. Bila wao sijui bar zingekuwaje.
Mkuu natumaini hapa uliteleza kidogo
huu msisitizo nimeupenda
Mkuu Paulss,
Nadhani niliteleza sana.Nachukua fursa hii kuwaomba radhi wanawake wote wauza bar popote walipo hasa maeneo ya Arusha hasa ukizingatia bila huduma zao maisha yangekuwa shabala bagala.