rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
- Thread starter
- #21
watajuta kunyea kambi ya mzee mengi,wamrudie tu mzee wao yule ndio aliyewatoa atawasamehe,otherwise waende kwa manji awape kazi ya kuchekesha wateja pale nje kwenye mall yake pale nyerere road quality
nakumbuka ITV ndio waliowaleta na kuwatambulisha kwetu,nilishangaa sana walivyomtukana yule mzee Mengi,jamani tujifunze kufikiria tulikotoka