Njaa jamani. Hawana jinsi kwani wasipofanya hivyo wanavyofanya watakula wapi?
Mmmh hawa jamaa leo wamenishangaza sana na nimeshindwa kuelewa vijana kama wale ambao taifa linawategemea kutoa tathmini ya uchaguzi igunga ktk hali ya upendeleo tena mkubwa kwa CCM,.Dah jamaa ni wajinga sana kwanin wanauza utu wao kijinga hvi?
Hao jamaa bado una muda wa kuwaangalia?! Toka wamehamia CCMBC wamekua mapimbi kabisa!!!
nA UMAARUFU WAO NDO UNAANZA KUISHA ...HAWAJUI MAANA YA KUIGIZA WAIGE HATA MATAIFA YA NJE