Naitwa Nani
Member
- Dec 18, 2011
- 29
- 2
tanzania sasa hivi kuna udini sana zamani ilikuwa ukabila mara wachaga,wahaya,wanyakwisa. Leo uislam na ukristo. Waislam wanadini yao na wakristo wanadini yao hivi tatizo nini....
Watu wana uelewa finyu Brother!! Tumshukuru M/Mungu tuu watanzania tunakaa pamoja mkristo na muislam wanapiga story, wanakaa nyumba moja bila kuhitilafiana tofauti na Nchi nyingine Kaka!!
Hata mimi Brother huwa nashindwa kuelewa, kama mtu ni Muislam anafanya kazi zake vizuri, anashirikiana vizuri na mwenzake pia uislam wake hauna madhara kwa mkristo tatizo ni nini????
Hata kama mtu ni Mkristo anafanya kazi vizuri naye anshirikiana vizuri na wenzake na ukristo wake hauna madhara kwa Muislam shida iko wapi??
KILA MTU ANA UMUHIMU WAKE AWE MKRISTO, MUISLAM au MPAGANI!!