wynejosee
Senior Member
- Jan 28, 2014
- 148
- 59
Mambo vp wadau,
Naomba kuuliza maswali ya Oral nmb kwa post ya bank officer maswali huwa yanakuaje? Ni ya kusoma au kutumia akili tu?
Nashukuluni kwa msaada wenu mliotoa katika mtihani wa aptitude test nmb.....sasa nimeitwa oral, nisaidieni tafadhari.
Ahsante
Naomba kuuliza maswali ya Oral nmb kwa post ya bank officer maswali huwa yanakuaje? Ni ya kusoma au kutumia akili tu?
Nashukuluni kwa msaada wenu mliotoa katika mtihani wa aptitude test nmb.....sasa nimeitwa oral, nisaidieni tafadhari.
Ahsante