Bado wakuu but the coming week won't end without call for interview...!
hawa jamaa wa Equity bank washajulisha watu waliofaulu na walio faulu chini ya wastani. jamani naombeni mwenye ufahamu zaidi namna interview zao za oral zinavyokuwa anipe mwanga kidogo. pia naejua mishahara yao kwa fresh graduate anifahamishe. natanguliza shukrani.