Oral and computer interview

luckyperc

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
495
46
Wadau kwa mwenye uwezo anisaidie jinsi maswali ya NAO kwa upande wa computer huwa wanauliza maswali ya aina gani.

 
Wadau kwa mwenye uwezo anisaidie jinsi maswali ya NAO kwa upande wa computer huwa wanauliza maswali ya aina gani.
Ili ndo tatizo la kuzoea madesa!Wewe jihandae kwa unayoyajua tu kule hakuna fomula ya kuuliza maswali inategemea na wewe unavyojipeleka kwenye swali ndo hapo utakapo banwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom