Opportunists. . . .

Mambo yaliyopita yanaweza yakatabiri yajayo au wakati mwingine ni kinyume chake,unachotakiwa hapa ni kuangalia anachotenda na sio anachosema.Anaweza akajikopi kwenye wema lakini kama hatarajii kuwa mwema utaiona tabia yake muda sio mrefu.Kwa tahadhari watu hawa mara nyingi ni wazuri sana kwenye kujidai ni wema,pia huwa ni mara chache sana kubadilika!
 
Hah ni kweli mamii kuwa akikutenda the same lazima uyakumbuke ya kale ila ndo hivyo tena.

Ila si inawezekana pia mtu kuchange kabisa?
Inawezekana sema ni ngumu sana mtu kuacha yale aliyozoea,kwahiyo kuna nafasi kubwa akaendelea vilevile .
 
Lizzy, nadhani kila mtu ana degree ya opportunism. Kinacho tutofautisha ni kua wazi about nia zetu tunapoanza uhusiano. Ukimpenda mtu because of his hability of making you happy, there is a dose of selfishness and opportunism right there... if he fails to make you happy you will fly to a better sky.
Kwangu mimi opportunism mbaya ni pale mtu anapo tumia uongo na fake faces kwa kufikia lengo lake. Ila kama tuko wazi toka mwanzo nampa heshima yake tu kama kawaida, na kama opportunity anayo itafuta kwangu itanisaidia na mimi kuendelea mbele, why not?
its very true RR ,mkiingia kwny r?shp mkiwa na malengo sawa u will b on th same boat na mnapotaka kubadili hayo malengo u move together or mnasplit kila mtu na malengo yake kupata wahusika wny malengo hayo mnayofanana nayo.
 
Kupenda hakutakiwi kumfanya mtu mjinga, siku hizi kwa jinsi watu walivyo wasanii ni muhimu kichwa kikahusishwa kwenye maamuzi badala ya kutegemea moyo pekee.

Mind and heart are always on conflict Lizzy. Its hard to combine the two when it comes to love. Sijui vijana wa sasa ivi but during my time, watu mnachukuana mko chokest tu na life goes on.
 
Back
Top Bottom