luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
CDM na vyama vingine vya upinzani nashauri muwekeze sehemu kubwa ya mlichonacho kwenye hili la BALALI.. For sure it can be the last touch to win this Game of finishing CCM kwenye fikra za watz.
Wengi humu wameongelea abt hiring private Investigator,. Nakubaliana na hili na nina imani kwa ukubwa wa chama kama CDM hili linawezekana., Dr Slaa na wengine, tunafahamu zawadi haiombwi but kwa hili tunaomba mtupe zawadi watanzania kwenye hii inayotusumbua akili kila kukicha. Nakumbuka katika kampeni za Dr. Slaa alipokuwa anafanya mdahalo kupitia ITV alisema watanzania tumchague atuletee BALALI within Three Months Time...Naamini kwa kauli yako hii ulikuwa unaamini hili linawezekana.. Now kwa resources zilizopo katika chama finacially and Human, zawiza saidia kufanikisha hili (tutachangia itakapopungua),kisha tusikie wapayukaji kama watasubutu kusema,. huko ni kutafuta umaarufu.
Yap kuna swali la kujiuliza hapa, ya kwamba hata Balali akiletwa hapa nani wa kumuhukumu? je nani wa kumhoji? na menineyo mengi.
Nionavyo mie hukumu yake iko mikononi mwa UMMA....kitendo cha kumuona tu ni hukumu tosha kwa CCM kwa ujumla..
To tell U the truth tht will be the Golden Goal
Wengi humu wameongelea abt hiring private Investigator,. Nakubaliana na hili na nina imani kwa ukubwa wa chama kama CDM hili linawezekana., Dr Slaa na wengine, tunafahamu zawadi haiombwi but kwa hili tunaomba mtupe zawadi watanzania kwenye hii inayotusumbua akili kila kukicha. Nakumbuka katika kampeni za Dr. Slaa alipokuwa anafanya mdahalo kupitia ITV alisema watanzania tumchague atuletee BALALI within Three Months Time...Naamini kwa kauli yako hii ulikuwa unaamini hili linawezekana.. Now kwa resources zilizopo katika chama finacially and Human, zawiza saidia kufanikisha hili (tutachangia itakapopungua),kisha tusikie wapayukaji kama watasubutu kusema,. huko ni kutafuta umaarufu.
Yap kuna swali la kujiuliza hapa, ya kwamba hata Balali akiletwa hapa nani wa kumuhukumu? je nani wa kumhoji? na menineyo mengi.
Nionavyo mie hukumu yake iko mikononi mwa UMMA....kitendo cha kumuona tu ni hukumu tosha kwa CCM kwa ujumla..
To tell U the truth tht will be the Golden Goal