Kwa kuwa Synovate na REDET wamegoma kutoa matokeo ya kura za maoni zinazoonesha kuwa Dk. Willibrod Slaa amempiku Jakaya Kikwete, na gazeti la serikali Daily News na la CCM Uhuru wameleta mizengwe baada ya online opinion polls zao kuonyesha kuwa Slaa kidedea, sasa kuna opinion poll mpya inayo endeshwa na gazeti la THISDAY.
Naomba wana JF wenzangu tupige kura kwenye opinion poll hii mpya ili kuonesha hisia zetu halisi juu ya utendaji wa Kikwete kwenye kipindi chake cha Urais cha miaka mitano (2005-2010). Tunawaomba THISDAY watangaze matokeo ya kura hii ya maoni baada ya wiki moja ili iwe ni mwongozo wa mwelekeo wa Watanzania kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 31.
Opinion poll hiyo inapatikana hapa:
www.thisday.co.tz
Naomba wana JF wenzangu tupige kura kwenye opinion poll hii mpya ili kuonesha hisia zetu halisi juu ya utendaji wa Kikwete kwenye kipindi chake cha Urais cha miaka mitano (2005-2010). Tunawaomba THISDAY watangaze matokeo ya kura hii ya maoni baada ya wiki moja ili iwe ni mwongozo wa mwelekeo wa Watanzania kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 31.
Opinion poll hiyo inapatikana hapa:
www.thisday.co.tz