Operesheni vua gwanda,vua gamba vaa uzalendo ya nape imeishia wapi?

Seif al Islam

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
2,156
638
Ni utaratibu wa ccm hii ya sasa kuiga kila kitu kinachofanywa na wapinzani hususani cdm katika mambo mbalimbali ya kisiasa hasa hili la kufanya mikutano na maandamano huko mikoani.nape nnauye u labda ccm yenyewe nae/nayo aliiga mpango wa cdm kufanya oparesheni huko mikoani kwa lengo la kuwafikia watu na kuwaelezea mambo mbali mbali.nape alianzia huko kanda ya ziwa kabla ya kutulia ghafla.kisha tukawasikia na akina magufuli jangwani wakipiga porojo za miaka ya sabini.kwa sasa oparesheni ile imekufa kifo cha mende coz haijulikani ipo wapi na ratiba ikoje au ndo ilikuwa tuu kufuta nyayo za cdm waliofunika jangwani?kwa wanaofahamu imefikia wapi watupe updates na ratiba kama ipo.
 
Ni utaratibu wa ccm hii ya sasa kuiga kila kitu kinachofanywa na wapinzani hususani cdm katika mambo mbalimbali ya kisiasa hasa hili la kufanya mikutano na maandamano huko mikoani.nape nnauye u labda ccm yenyewe nae/nayo aliiga mpango wa cdm kufanya oparesheni huko mikoani kwa lengo la kuwafikia watu na kuwaelezea mambo mbali mbali.nape alianzia huko kanda ya ziwa kabla ya kutulia ghafla.kisha tukawasikia na akina magufuli jangwani wakipiga porojo za miaka ya sabini.kwa sasa oparesheni ile imekufa kifo cha mende coz haijulikani ipo wapi na ratiba ikoje au ndo ilikuwa tuu kufuta nyayo za cdm waliofunika jangwani?kwa wanaofahamu imefikia wapi watupe updates na ratiba kama ipo.
Sasa inaendeshwa na polisi.
 
Ni utaratibu wa ccm hii ya sasa kuiga kila kitu kinachofanywa na wapinzani hususani cdm katika mambo mbalimbali ya kisiasa hasa hili la kufanya mikutano na maandamano huko mikoani.nape nnauye u labda ccm yenyewe nae/nayo aliiga mpango wa cdm kufanya oparesheni huko mikoani kwa lengo la kuwafikia watu na kuwaelezea mambo mbali mbali.nape alianzia huko kanda ya ziwa kabla ya kutulia ghafla.kisha tukawasikia na akina magufuli jangwani wakipiga porojo za miaka ya sabini.kwa sasa oparesheni ile imekufa kifo cha mende coz haijulikani ipo wapi na ratiba ikoje au ndo ilikuwa tuu kufuta nyayo za cdm waliofunika jangwani?kwa wanaofahamu imefikia wapi watupe updates na ratiba kama ipo.

Sasa Anazunguka Nchini anapata watu wa VIPIKIPIKI; akiongea na Wananchi ni 10 au 50 utasema nini? Msamaha wa kodi za karanga,

nyanya na vitunguu... Hapati watu wa kujiunga na CCM kama sio kuwahonga... Ni Bora ajikalie Ofisini achungulie JANGWANI

aangalie MIKUTANO ya CUF
 
Ni utaratibu wa ccm hii ya sasa kuiga kila kitu kinachofanywa na wapinzani hususani cdm katika mambo mbalimbali ya kisiasa hasa hili la kufanya mikutano na maandamano huko mikoani.nape nnauye u labda ccm yenyewe nae/nayo aliiga mpango wa cdm kufanya oparesheni huko mikoani kwa lengo la kuwafikia watu na kuwaelezea mambo mbali mbali.nape alianzia huko kanda ya ziwa kabla ya kutulia ghafla.kisha tukawasikia na akina magufuli jangwani wakipiga porojo za miaka ya sabini.kwa sasa oparesheni ile imekufa kifo cha mende coz haijulikani ipo wapi na ratiba ikoje au ndo ilikuwa tuu kufuta nyayo za cdm waliofunika jangwani?kwa wanaofahamu imefikia wapi watupe updates na ratiba kama ipo.
Ipo inaendelea kama kawa,isipokuwa imebadirishwa jina ssa iv ni VUA UHAI VAA UMAUTI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom