Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Ni utaratibu wa ccm hii ya sasa kuiga kila kitu kinachofanywa na wapinzani hususani cdm katika mambo mbalimbali ya kisiasa hasa hili la kufanya mikutano na maandamano huko mikoani.nape nnauye u labda ccm yenyewe nae/nayo aliiga mpango wa cdm kufanya oparesheni huko mikoani kwa lengo la kuwafikia watu na kuwaelezea mambo mbali mbali.nape alianzia huko kanda ya ziwa kabla ya kutulia ghafla.kisha tukawasikia na akina magufuli jangwani wakipiga porojo za miaka ya sabini.kwa sasa oparesheni ile imekufa kifo cha mende coz haijulikani ipo wapi na ratiba ikoje au ndo ilikuwa tuu kufuta nyayo za cdm waliofunika jangwani?kwa wanaofahamu imefikia wapi watupe updates na ratiba kama ipo.