Mahita anaweza kurudi kwa muda maana ana historia huko.mambo ipo huku......
Kumbe ni Arusha.!!!!!!!. Sasa oparesheni gani hiyo, nijuavyo kanda ya kaskazini ni chadema wengi, sasa hii operesheni inakuwaje tena?
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Kumbe ni Arusha.!!!!!!!. Sasa oparesheni gani hiyo, nijuavyo kanda ya kaskazini ni chadema wengi, sasa hii operesheni inakuwaje tena?
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Ni kesho jumamosi tar 5-may-12....viwanja vya NMC (Tahrir Squire)...Arusha, kuanzia saa saba mchana....
ukisoma tangazo hili....mjulishe na mwenzio....
M4C....daima....
Aiseee...wako wengi.Mkuu tunakufahamu huna jema linalohusu Chadema endelea kukumbatia maiti (i.e CCM) mpaka ikuozee na ukiona umebakia na skeleton utaamua mwenyewe pa kwenda.
shem...Ngorika ya kwanza inatoka Dar saa kumi na mbili kamili asubuhi....inafika Arusha saa tano kabla ya lunch....utawahi vizuri....
Achana nae huyo kibaraka!!!!unaweza kutufahamisha....ng'ombe mwenye bei ni yupi.....?
Duuh! kweli JF never boring....jibu hilo hapo juu mtu lazima ale chocho.Mkuu tunakufahamu huna jema linalohusu Chadema endelea kukumbatia maiti (i.e CCM) mpaka ikuozee na ukiona umebakia na skeleton utaamua mwenyewe pa kwenda.