Ndugu zao WanaJF nimeshangazwa na moyo wa kutaka mabadiliko aliounyesha Kijana mmoja hapa Mjini Ifakara ambaye baada ya kukosa hela ya kuchangia wakati kikapu kinapitishwa kwenye Mkutano aliamua kuchangia YAI la kuchemsha ambalo lilikuwa ni bidhaa yake aliyokuwa akiuza kwenye mkutano ule. Pia uwanja ulibadilishwa Jina na kuwa CHADEMA SQUARE, Wananchi walimkumbuka Marehemu Regia Mtema; It was very wonderful
Last edited by a moderator: