Chadema bana mara mseme mnataka kuuwawa hivi inaingia akilini kweli mtu unasema unatishiwa kuuwawa halafu unaanza kuzunguka mikoani kwa hiyo mkoa hatari kwa Chadema ni Dar es Salaam tu siasa zingine bana.
Mwigulu atakufa kwa BP kabla ya 2015 kwa sasa yupo ICU.
Chadema bana mara mseme mnataka kuuwawa hivi inaingia akilini kweli mtu unasema unatishiwa kuuwawa halafu unaanza kuzunguka mikoani kwa hiyo mkoa hatari kwa Chadema ni Dar es Salaam tu siasa zingine bana.
Magamba lazima yajiharishie kupitia puani safari hii.
Tunakwenda kuwaeleza wananchi kuwa ccm ni wauaji.
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuanza ziara ya kuimarisha chama katika mikoa mitano. nayo ni dodoma,singida,manyara,iringa na morogoro.
source: clouds tv
Siasa za udanganyifu hizo Tanzania ni nchi ya amani nenda mnapotaka hakuna wa kuwagusa serikali itawalinda.
Hii ni M4C sio operation sangara. Umma unawasubiri kwa Nchemba M
Chadema bana mara mseme mnataka kuuwawa hivi inaingia akilini kweli mtu unasema unatishiwa kuuwawa halafu unaanza kuzunguka mikoani kwa hiyo mkoa hatari kwa Chadema ni Dar es Salaam tu siasa zingine bana.
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuanza ziara ya kuimarisha chama katika mikoa mitano. nayo ni dodoma,singida,manyara,iringa na morogoro.
source: clouds tv
Mwigulu atakufa kwa BP kabla ya 2015 kwa sasa yupo ICU.
Ukipita karibu na mwigulu nchemba harafu ukasema "CHADEMA HAOOO!" Nasikia haja ndogo inamtoka. Sasa asubiri M4C jimboni kwake nini kitamtoka?
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuanza ziara ya kuimarisha chama katika mikoa mitano. nayo ni dodoma,singida,manyara,iringa na morogoro.
source: clouds tv