rogers26tz
Member
- Oct 7, 2010
- 10
- 0
Wakati wa ukombozi wa Tanzania ni sasa, kila mmoja awe sehemu ya ukombozi huu kwa kupinga Ufisadi na kuhimiza uwajibikaji katika ngazi zote za mahamuzi.
Wahenga walisemaje? Mdharau mwimba mguu hufanyaje?? Ndiyo yanayowakuta CCM sasa hivi.Hivi hawa CHADEMA wataka kuchukua hii nchi 2015? Mbona manakwenda mbali namna hiyo? nilikuwa najua nyie ni ka chama ka kaskazini na ni ka chama ka msimu, sasa sijui huu ni msimu gani?
Utambulisho wa CHADEMA ni DEMOKRASIA NA MAENDELEO. Lipi kati ya maneno hayo mawili ni la kigeni?Mlitika umeeleweka...USA Democratic wanajulikana wao wanatetea tabaka la chini Republican wao wanatetea uchumi mkubwa. CCM utambulisho wake ni wakulima na wafanyakazi; natamani nifahamu CDM utambulisho wenu ni nini?
Halafu mdai kabisa na tuition fee!Ndachuwa; CHADEMA = Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Demokrasia = Utawala wa watu (Umma) na kwa ajili ya watu.
Maendeleo = Kujikwamua kutoka hali duni katika nyanja zote kimaisha kuelekea katika hali bora. Pakiwepo demokrasia ya kweli hakuna anayebaguliwa wala anayefaidi wengine waachwa.
Hii ndiyo tofauti ya CHADEMA na CCM. CCM haipiganii tena maendeleo ya hao wakulima na wafanyakazi Hiki ni chama cha kuwafaidisha na kuwalinda wachache (mafisadi) na adui wao mkubwa ni DEMOKRASIA (tuseme ukweli jamani). Hakuna demokrasia ndani ya CCM namna ya kugombea uongozi (hata wa ndani ya chama); hakuna demokrasia ndani ya CCM katika Tume ya Uchaguzi, jeshi la polisi na sasa hata mahakama.
CHADEMA ina dhamira ya dhati ya kuondoa uozo huu ndani ya nchi hii badala yake kujenga jamii ya kidemokrasia inayotafuta maendeleo ya kweli.
Nabwada siyo kufanya malumbano; Kesho asubuhi tuwe pamoja kwa Shilingi tupate supu. CCM Mtwara haina mpinzani zaidi ya CUF ambao kwa kiasi fulani wanajikongoja kwa kutumia misikiti.
Ukweli hapa Mtwara vyama vinashika nafasi kama ifuatavyo:-
1. CCM 80% wapiga kura
2. CUF 12% wapiga kura
3. NCCR Mageuzi 5%
4. CHADEMA, UDP, TLP, TADEA, NLD, UPDDP, Demokrasia Makini 3%
hii ni kama operation sangara, hongereni.....yuel M/Mweti wa bavicha yeye anaenda wapi?
Hahahahaahahaahahahahaa aisee umenivunja mbavu sana sikutegemea kukutana na kioja kama hiki bila shaka utakuwa mtu wa utani sana duh!Timu ya Nape itakuwa Nungwi na timu ya lukuvi itakuwa mwnakwerekwe! Pia timu ya Wasira itakuwa arumeru, bila ya kusahau timu ya lusinde itakuwa Uamshoni!
Operation vaa Uzalendo choma makanisa!
Timu ya Nape itakuwa Nungwi na timu ya lukuvi itakuwa mwnakwerekwe! Pia timu ya Wasira itakuwa arumeru, bila ya kusahau timu ya lusinde itakuwa Uamshoni!
Operation vaa Uzalendo choma makanisa!
hii ni kama operation sangara, hongereni.....yuel M/Mweti wa bavicha yeye anaenda wapi?
Good job CDM, but how Zito as one of the greatest kamanda hatumuoni katika hizi harakati?
Good job CDM, but how Zito as one of the greatest kamanda hatumuoni katika hizi harakati?