Operesheni mulika, toa, tupa nje

Jasho la Damu

JF-Expert Member
Mar 10, 2011
956
120
Wasalaam Wanajf
Kwa kuwa JF sasa imekuwa ndio Taa huru pekee ya kumulika viongozi wa serikali na kijamii ndani na nje ya mipaka ya taifa la Tanzania.
Napenda Kuchukua fursa hii kukaribisha maoni na habari zinazohusu utendaji kazi wa serikali za mitaa na halmashauri za wilaya hasa ukizingatia kuna madudu mengi yanayofanyika katika halmashauri zetu za wilaya nasi tumekuwa tukiyafumbia macho na kudeal na Serikali kuu tu turudi pia kwenye halmashauri zetu. natumai kupata positive co-operation kutoka kwenu.
 
Wasalaam Wanajf
Kwa kuwa JF sasa imekuwa ndio Taa huru pekee ya kumulika viongozi wa serikali na kijamii ndani na nje ya mipaka ya taifa la Tanzania.
Napenda Kuchukua fursa hii kukaribisha maoni na habari zinazohusu utendaji kazi wa serikali za mitaa na halmashauri za wilaya hasa ukizingatia kuna madudu mengi yanayofanyika katika halmashauri zetu za wilaya nasi tumekuwa tukiyafumbia macho na kudeal na Serikali kuu tu turudi pia kwenye halmashauri zetu. natumai kupata positive co-operation kutoka kwenu.

wewe ni nani mpaka unataka haya??
 
Nimeshawai kukutana na Mtumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro nilipokwenda kunywa kikombe cha dawa ya Babu ilinibidi nitokwe na machozi maana sikutarajia kama atakuwa amebadilika kwa kuchakaa sana ili hali kabla ya kupata kazi alikuwa kibonge na nadhifu sana. Aliniambia tatizo kubwa ni Viongozi anaofanya nao kazi katika halmashauri hiyo huwa wanajiangalia wenyewe na matumbo yao tu.
 
Serikali za mitaa ni sehemu ya serikali,ni mtumwa wa serikali kuu na inawajibika kwa serikali kuu,sasa tusideal sana na serikali za mitaa cha msingi tudeal na malords wao huko juu,haiwezekana chini pakawa safi kama juu pana longolongo lakini inawezekana chini pakawa safi kama juu pako safi,as the matter of fact local authorities in Tz reflect its boss which is "legelego"
 
Serikali za mitaa ni sehemu ya serikali,ni mtumwa wa serikali kuu na inawajibika kwa serikali kuu,sasa tusideal sana na serikali za mitaa cha msingi tudeal na malords wao huko juu,haiwezekana chini pakawa safi kama juu pana longolongo lakini inawezekana chini pakawa safi kama juu pako safi,as the matter of fact local authorities in Tz reflect its boss which is "legelego"
Ni kweli mkuu lkn kwa wakati huu tunapambana Serikali kuu tunaacha mamilioni ya fedha yanaliwa na halmas
 
I got you right!hapa kuna mambo mawili kiongozi,kwa halmashauri zilizochini ya upinzani hili linawezekana kabisa maana katika vikao vyao watabanana mpaka kieleweke eg.Mwanza,Arusha,Mbeya n.k,tunaweza kurekebisha mambo kwa kumbana DED na wakuu wa Idara mpaka kila senti ikahesabika imefanya nini,kama ni mapato,matumizi vikajulikana kwa wananchi alafu tukapata kujua pesa ya miradi toka hazina inatumika na nini kinakuwa 'outputs'

Ishu inakuwa ngumu kwenye H'shauli ambazo hazina upinzani (madiwani) ama ni hafifu,hapa bado DED na wenzake wakuu wa Idara wanatafuna si mchezo,miradi haiishi,haina viwango na pesa haionekani eg.Morogoro,Tabora,Dodoma n.k,sehemu kama hizi ndo zinasubiri push kutoka juu vinginevyo malpractices ni nyingi mno ama hadi pale wapinzani watakapokuwa wameweza kutake over kwenye sehemu hizo
 
mimi mmasai kama alivyo lowasa na wamasai wengine.
Mi mmasai bana, nasema mi mmsaiTamaduni yenye nguvu iliyobaki Afrika.Lowassa bana si mmasai ni mmeru ambaye jamii yake ilihamia monduli siku nyingi, pamoja kukulia ktk tamaduni za kimasai Lowassa bado ni OLMEKIII au chasaka ka wachaga wanavyosema
 
Rweye nimekupata bro na hicho ndo haswa ninachomaanisha naamini hapa JF kuna watumishi wengi sana kutoka katika halmashauri zetu na wanashuhudia hayo madudu naamini wangeyaweka wazi hapa Jf nchi ingesafishika.
 
Mi mmasai bana, nasema mi mmsaiTamaduni yenye nguvu iliyobaki Afrika.Lowassa bana si mmasai ni mmeru ambaye jamii yake ilihamia monduli siku nyingi, pamoja kukulia ktk tamaduni za kimasai Lowassa bado ni OLMEKIII au chasaka ka wachaga wanavyosema
Ha ha haa ila OLMEKII mwenyewe.
 
Back
Top Bottom