rasmanyara
Senior Member
- Sep 12, 2011
- 197
- 18
Kweli we sengesenge,inakuaje unafuatilia visivyo na faida kwako? Huo mda bora ungekua unafanya kazi ya kutawaza bata.
Njema sana mkuu. Lakini sio kwamba hatujachoka bado, ila hatutaki kukurupuka tukamfukuza kima shambani na kumuingiza nyani, itakuwa patupu!
Kuamini wanasiasa ni sawa na kujizika hai. Liberators do not exist, but people liberates themselves. TUSIDANGANYIKE na hawa wanasiasa, tujiamini wenyewe tuwe wamoja na tuthubutu, tutawafutilia mbali hawa wezi madarakani.
Mungu wetu anaita!
Tukisema Chama cha wahuni mtasema nini?
Kuna vitu umesahau ama kwa makusudi au kwa uelewa mdogo. Kanda ya Ziwa ni moja ya ngome kubwa ya CHADEMA na huwezi kuongelea mafanikio au uwepo wa ngome hiyo bila kutaja operation 'sangara'.
Pili, hoja za wachaga, mara watu wa Arusha au watu wa kaskazini sasa zinapanguliwa kwa vitendo. CCM kama kawaida walidhani CHADEMA hawatipiga kambi Dar, sasa wamekuja na leo watawaagesha CCM na maji baridi pale jangwani.
yaani wewe naogopa ban tuu ningekupa jibu moja ungezimia. kinachokuuma nini? wewe kaoge ulale
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.
Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.
Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
MTAISOMA NAMBA CHADEMA OYEEEEEEEEEEE
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.
Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.
Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.
pole ndugu. nadhani umepata majibu uliokuwa unayatafuta. au una la kusema tena? nyinyiem!Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.
.