Kamanda Godbless Lema akiongozana na makamanda wengine leo wataitikisa wilaya ya Sengerema wakiendeleza harakati za kuwavua watu magamba, baada ya hapo kesho makamanda watakuwa Chato kwa Magufuli, J3 watatikisa Bunda na J4 watakuwa Singida Kaskazini.Hakuna kulala mpaka Kieleweke. M4C