walipokuwa NEC na CC ya CCM tulisema CCM chafu
sasa wameondoshwa NEC na CC tunawaonea huruma
kesho watahamia CDM wataonekana wapiganaji
If you know what Mwanakijiji is doing and you happy, clap your hands!
:clap2::clap2:
Pure Poetry! Kweli kabisa Mapacha watatu RACHEL wasiende kokote wabaki ndani ya CCM hawatawafanya kitu! Its just posturing, they are playing chicken with each other! Who will be first one to blink?
So u are now defending the triplets!!!? Are u worried that CCM are now getting stronger by their move to oust the three? Opposition parties should bank their growth on better alternative policies, rather than wait and capitalize on CCM's mistakes.
walipokuwa NEC na CC ya CCM tulisema CCM chafu
sasa wameondoshwa NEC na CC tunawaonea huruma
kesho watahamia CDM wataonekana wapiganaji
Whats wrong if they prove that they are most corrupt people. Sometimes its the best to resign even though u r innocent, kupisha they are so called clean people to work properly for the sake of the public na chama ili watu wasipate sababu ya kupiga kelele. Mimi nawashauri wajitoe tu hata kama they are inocent kiasi gani Mungu aonaye sirini atawajazi.
Hivi hizo barua ataandika nani na atasaini nani?
Mkuu,Swali ni je Mapacha Watatu wamepokea barua yoyote au wameambiwa tu kwa mdomo informally?
Hii siyo movie tena, bali ni SERIES kama Dallas na Days of Our Lives.. neverending story! :director:
Nasema Su!!
Lol
Mwanakijiji, I read U loud & Clear.
CCM wako kwenye catch-22. Wakiwatoa chama kitapata misukosuko sababu hawa mabwana ni watu wa visasi unless JK aamue kutumia nguvu alizonazo kuwamaliza kabisa kwa kuwapeleka mahakamani through PCCB.
Wakishindwa kuwatoa, CCM baada ya kujipachika jina la Magamba, wataulizwa magamba yaliyotoka yako wapi??
Jk utadhani sio Mwanajeshi, ilitakiwa kuwatosa hawa watu kwenye NEC ya juzi, lakini sasa amewapa 90 days za wao kujizatiti. Hii movie nashindwa hata kupredict itaisha vipi, lakini any ending ni PIGO kwa CCM.
Viva Tanzania
Mwanakijiji, I read U loud & Clear.
CCM wako kwenye catch-22. Wakiwatoa chama kitapata misukosuko sababu hawa mabwana ni watu wa visasi unless JK aamue kutumia nguvu alizonazo kuwamaliza kabisa kwa kuwapeleka mahakamani through PCCB.
Wakishindwa kuwatoa, CCM baada ya kujipachika jina la Magamba, wataulizwa magamba yaliyotoka yako wapi??
Jk utadhani sio Mwanajeshi, ilitakiwa kuwatosa hawa watu kwenye NEC ya juzi, lakini sasa amewapa 90 days za wao kujizatiti. Hii movie nashindwa hata kupredict itaisha vipi, lakini any ending ni PIGO kwa CCM.
Viva Tanzania
Siwezi amini hadi nipate huhakika wa barua zenyewe na mwenye guts za kusaini maana Kikwete mwenyewe siku ya CC alipatwa na kigugumizi kuyataja majina itakuwa aweze kuandika barua.Mkuu,
Kuna taarifa kuwa wote watatu washatumiwa barua kwa 'dispatch' na kwa sasa wanajipanga. Pasaka au siku moja/mbili baadae wanaweza kuja kivingine.