Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Nchi ishauzwa hii.
hebu nikumbushe, ni nini ambacho bado hakijauzwa?
Nchi ishauzwa hii.
Kuna tetesi kuwa ule uwanja wa wazi mbele ya Palm Beach Hotel Sea View,umekwapuliwa na familia ya Mkulu... Baada ya matokeo umezungushwa ukuta.
Nashukuru major inaonekana uko more informed kwenye hili..hivi kimekuwa created kipindi cha miaka ya 90 au tangu enzi hzo za 1980?Usiwe unaandika mambo ambayo huna data nayo,watu watakudharau, Ule haukuwa uwanja wa wazi, kilikuwa ni kiwanja. na kilikuwa na kesi tangu mwaka 1998, kati ya city na marehemu Wakili MUKADAM, Kesi imekwisha mwaka 2009,lakini wakati kesi inamalizika mzee MUKADAM alikuwa ameshafariki kwa hiyo kesi ilikuwa inaendeshwa na mwanae anaeitwa TAHER MUKADAM, kwa hiyo kwa sasa hivi kile kiwanja ni mali ya TAHIR MUKADAM, USIWE NA WIVU WA KIKE
Usiwe unaandika mambo ambayo huna data nayo,watu watakudharau, Ule haukuwa uwanja wa wazi, kilikuwa ni kiwanja. na kilikuwa na kesi tangu mwaka 1998, kati ya city na marehemu Wakili MUKADAM, Kesi imekwisha mwaka 2009,lakini wakati kesi inamalizika mzee MUKADAM alikuwa ameshafariki kwa hiyo kesi ilikuwa inaendeshwa na mwanae anaeitwa TAHER MUKADAM, kwa hiyo kwa sasa hivi kile kiwanja ni mali ya TAHIR MUKADAM, USIWE NA WIVU WA KIKE
Nimedharaulika saaana kwa kupandikiziwa Rahisi... Itakuwa hapa JF!!!??? Sahau!!! Haya NYAKUENI NA ILE Ettienes najua mnaitolea udenda!!! Mnasubiri Ben na Rupia wawe vikongwe au watangulie!!!... Oooh those Upanga days ... Lile duka pale Upanga zamani USHIRIKA peaneni... Ile TTCL pale opp. na Diamond tangazeni palikuwa kwa nannhiii... Twaeeeniii
Ule uwanja wa kujifunzia magari O'bay Chole na Kaunda zamani Parking za US Embassy CHUKUENI!!!
tuskerbariiiiiiiiiiiidi,
leo mbona una hasira saaaaaaaaaaaana??
Pata tusker moja kwanza! Hawa jamaa watakuchosha tu! wakili maarufu anaendesha kesi ya kiwanja mpaka anakufa!
Mafisadi wanakuwa na visingizio kwelikweli - all of sudden here comes mucadam jr!
TuskerBariiiiiiiiiiiidi,
Leo mbona una hasira saaaaaaaaaaaana??
Pata Tusker moja kwanza! Hawa jamaa watakuchosha tu! Wakili Maarufu anaendesha KESI YA KIWANJA mpaka anakufa!
Mafisadi wanakuwa na visingizio kwelikweli - All of sudden here comes Mucadam Jr!
hebu nikumbushe, ni nini ambacho bado hakijauzwa?
mKUU, unapoteza muda wako bure, kama Mucaddam jr. ameamua kumuuzia riz1... so be it!! swali la msingi ni kujua mtaji huo wa mabilioni riz1 kautoa wapi?Yaaani... Hiii nchi hiii... Mucadam family wapewe mahali pengine... Au Riz ni mtoto wa Mucadam...
yaani hawana aibu kabisa, na pale!