Chadema wanajiita wapiganaji, huwa wanapigana na nani?
Nilidhani ni mimi peke yangu.
Chadema wanajiita wapiganaji, huwa wanapigana na nani?
Mnamuonea tu kwa Sababu ni Muislaam.
Mbona hata JKN alikuwa akidanganywa na kuropoka na hamkusema?
Mnashambulia sana Viongozi Waislaam, Wagalatia nyie!!!!
Wanapigana na maadui wa Utanzania....ukiwemo wewe
Hata mie sielewi ni kinaongelewa
Chadema wanajiita wapiganaji, huwa wanapigana na nani?
Kwa nini unachangia jambo usiloelewa? Jiweke kando uwaache walioelewa waendeleze mada.
Mnamuonea tu kwa Sababu ni Muislaam.
Mbona hata JKN alikuwa akidanganywa na kuropoka na hamkusema?
Mnashambulia sana Viongozi Waislaam, Wagalatia nyie!!!!
Rais JK, inavyoonekana ni kama kadanganywa issue ya ujenzi jangwani, ambapo jana aliagiza ujenzi usimamishwe mara moja na kubomolewa... Leo ITV habari saa mbili usiku. Mafundi na wachina wanasema wanaendelea na ujenzi kituo cha mabus ya kwenda kasi, vituko tupu mwandishi ITV anashanga, nami nashanga ilikuwaje rais kasema pabomolewe aliakuwa ni kituo cha mabus kasi?
chadema wanajiita wapiganaji, huwa wanapigana na nani?
Mungu wangu, yani ubovu wa rais wetu unaufumbia macho kisa ni muislamu? Dini hizi ni matunda ya ukoloni so usijidai muislamu kuliko Mtume. Kumbuka wew ni Mtanzania na future yako italetwa na uongozi bora na sio dini ya kiogozi wako.
UMEIZALILISHA DINI YAKO, ACHA UDINI. USIJIFUNGE NA UDINI, CHAMBUA MAMBO KISOMI (I believe u 1).