King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,587
Tumekupata mtoto wa kitanga,sasa we watokea majani mapani au barabara ya 7 kwa kina marehemu baba dullah 1?
kweli nimezeeka maana mengine ninayoyasoma humu ni kimavi tu
Tumekupata mtoto wa kitanga,sasa we watokea majani mapani au barabara ya 7 kwa kina marehemu baba dullah 1?
mkuu najua umeshazoe kukokotoa demand and supply hapa lazima pakushinde
Yani naona kama mipasho tu aiseemkuu najua umeshazoe kukokotoa demand and supply hapa lazima pakushinde
Thanks for the offer, but no thanks!!mbona uchumi wa taifa letu wadorora?
Aje huku kwenye nature tumfunze.
Aonje ladha tofauti.
Mke Mkurya nyumba ndogo Msafwa, raha ya mapenzi utaijulia wapi?
Utasoma weeeeh, na mwisho utajikuta umeangukia kwa housegirl Mtindiga
kwenu mabrazameni, waheshimiwa, waume wa watu na wooote wale ambao sikuwatajeni hapa.
Mapenzi ni kitu kitamu sana kwa muda mfupi, haswa yakiwa featured na big shoppings, outings and vacations.
Ukiona umeachwa haimaanishi uendelee kung'ang'ania. Tafuta mwingine.
Ninapo acha huwa nina sababu zangu nyingi tu za kuamua kufanya hivyo.
Kwa sasa sihitaji tena simu zenu za vilio vya kuniomba niwasemehe na kufanya marudiano, wala sitaki simu zenu za ahadi kemkem.
Bahati niliyo watunuku ya kuwaonjesheni pepo ya kitandani imesha pita.
Sasa nimempata wangu, nimpaye pepo na paradiso zote, maraha na mahaba shatashata niliyo nayo na ninayo yajua ni mali yake.
Naomba tafuteni wa aina yenu.
dont take her posts kisirias sana mkuu, anatumia dawa za kichwa huyoWewe ni mwana JF halisi,crap crap tu,sioni tofauti na Cameron.
Nyamaza kabisa hakyanani lazima unirudishie hela yangu, usinifanye mi mjinga!humu pia wamo, tena ving'ang'anizi ka ruba wa Mombasa
Sasa kama hao watunukiwa wastaafu hawapo jf mbona umeleta huu uzi humu?..Mabwana wa JF hawachelewi kukuanzishia thread, siwataki hata kwa burungutu la dolali
Mhhh, I am glad I'm not one of them. Huo mchezo wa kupendwa siku mbili pesa na outings zikiisha unapigwa chini nisingeuweza.
Btw, hivi ulikuwa nao wengi kiasi gani?