Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Bandugu! Kaka yangu mmoja askari polisi aliuawa Juzi Shinyanga baada ya wahalifu aliokua anawalinda kumhadaa kana kwamba wanaomba kusikilizwa kidogo na alipowasikiliza ghafla wakamzidi nguvu kabla ya kumpora bunduki aliyokua nayo na kumshindilia risasi na alipokuja askari mwenzake kusaidia naye akauawa na kuporwa bastola...hata hivyo wananchi walifanikiwa kumuua jambazi mmoja wao na mwingine kutoroka! Leo nipo Kilwa road kutoa heshima za mwisho! R.I.P bro! Damu yako haikumwagika bure!