Ooops! "Nyumba ndogo yangu imepata mimba!" Ushauri

...insert USB-drive yako uendelee ku-upload more files bana!
Tena ndio wakati wa kutumia 'ports' zote sasa, ushajimilikisha hiyo!


ohooooooooooooo... sasa weye nawe hujapitia sredi moja ya last week kuhusu kutumia ports zote
 
View attachment 14468


Wakulu ndo ujumbe nimeupata hapa hebu nishaurini nifanyeje in "COMPUTER TERMS" Only.

Nianze na viongozi wangu wakuu Asprin-ODM, St Roya Roy, King TEAMO, Mpwa FIDEL ACID, Kijana Finest, Bigirita na bila shaka upande wa kina binamu......hapa nifanyeje>


mawazo yangu nafikiria kubonyeza CTRL+ALT+DEL then TASK MANAGER kisha END TASK...


happy friday!:wink2:

Bonyeza power button kama sekune 45 hivi. Computer itazima. Pumzika kidogo.

Washa computer yako wakati ukibonyabonya F8. Utapata menu na utachagua Safe Mode (inategemea na girlfriend wako lakini. kama ni 'mchina' F8 haitakusaidia. na kwa hiyo itabidi ulee mimba).

Ukiwa kwenye Safe Mode utakuwa na uwezo wa kutumia application kama Marie Stops inayopatikana kwenye Administrative Tools ya Control Pannel.

Usijaribu kuscan maana utarutubisha yai
 
Bonyeza power button kama sekune 45 hivi. Computer itazima. Pumzika kidogo.

Washa computer yako wakati ukibonyabonya F8. Utapata menu na utachagua Safe Mode (inategemea na girlfriend wako lakini. kama ni 'mchina' F8 haitakusaidia. na kwa hiyo itabidi ulee mimba).

Ukiwa kwenye Safe Mode utakuwa na uwezo wa kutumia application kama Marie Stops inayopatikana kwenye Administrative Tools ya Control Pannel.

Usijaribu kuscan maana utarutubisha yai

dah this is hilarious! LOL
 
ohooooooooooooo... sasa weye nawe hujapitia sredi moja ya last week kuhusu kutumia ports zote

Kule iliko sidhani kama kiongozi Mbu ana access nako, hata hivyo hiyo ilikuwa valid kwa one week tu....lol
 
How about CTRL + SHIFT?

Inabidi ufanye PING statistics ikitokea ikakwambia DESTINATION HOST UNREACHABLE angalia IP address yako kama ni STATIC IP au DYNAMIC IP
ukigundua kuwa imekuwa blacklisted jaribu zile PUBLIC IP
 
Inabidi ufanye PING statistics ikitokea ikakwambia DESTINATION HOST UNREACHABLE angalia IP address yako kama ni STATIC IP au DYNAMIC IP
ukigundua kuwa imekuwa blacklisted jaribu zile PUBLIC IP

ELIZAs are here to stay eeh mpwa....hahahaha ngoja ni run AUTORUN>>>>
 
Hebu mwambie ailetee kwenye kitengo cha IT cha ISC tuifanyie check up sijui ni make na model ya wapi

...maajabu ya flat screen kugeuka CRT hii, sijui walitumia antivirus za kichina hawa? hehehhehee!
 
mkuu accept na ulisave tu kitanda akizai haramu ukitafuta detail utibua virus kibao
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom