FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Bado naendelea kushangaa inakuwaje wanaume mnakuja kasi kiivi katika ulimwengu wa Taarabu.. zamani nilijua si fani yenu ukitizama kwenye majukwaa jinsi mnacheza taarabu..mmh waimbaji wa kiume kila kukicha wanaongezeka na upenzi wenu unashika kasi ya ajabu
Kulikoni???nashngaa
Kulikoni???nashngaa