Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
I like it,very true hata bible haijasema lazima tuolewe,but tukishindwa kuwa kama kristo basi kila mtu awe na mume/mke wake mwenyewe
mapenzi siku hizi hakuna best, mapenzi waliyafaidi wazazi wetu but wanaume wa siku hizi!!! Ukipata anaekupenda na kukujali kwa dhati shukuru mungu. Kwa wenye roho ndogo kama yangu bora kukaa kivyako tu kuliko kuumizana vichwa.