<ooo> MMU: Kundi la Waliovunjika Mioyo Au Washauri?

Yaani mijanaume yoooote hii mikware huku JF ukose mchumba?............ Kaogee magadi aisee!
Haaa haaa haaa,babu tatizo ni masaburi kuhamia magotin nitakuwa kituko! samahan Obuntu naona tushachakachua hapa si unaju huyu mzee keshachukua ubingwa wa kuchakachua na akikamta mjukuu hata kwenye sred ya mtu kuchakachua hakukwepeki,tusamehe bure!
 
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).

I wish na mimi ningefahamiana na jf membaz wenzangu! God Hear my prayer!
 
Takribani miaka mitatu sasa nimekuwa msomaji mzuri sana wa hili jukwaa (MMU) na baada ya kupitia "threads" takribani 500 nimeona kuna kitu kimoja kinachofanana sana katika hizi "threads"... Nyingi ni za "Ulalamishi/Ushauri wa mahusiahano"!

Ningependa kufahamu,

Je, Inawezekana wachangiaji wengi au wapenzi wengi wa MMU ni wale waliokwisha kutendwa (broken-hearted) Au wengi wako katika safari ya ku-recover kutoka katika kutendwa Au wengine bado wapo katika kutendwa???

Nawakilisha:
klwani wewe unaonaje?
 
mapenzi ndo yanarun dunia na ndo maana watu wapo MMU sana, na washauri sababu wapo yaliyowakuta pia wapo wanaotaka kujifunza kupitia watu.
 
Mi ninavyofikiri mapenzi yana nafasi kubwa sana ktk maisha ya mwanadamu. Nakwa sababu ya umuhimu wake, uwezekano wa kutendwa au kutenda ni mkubwa sana. Hivyo, basi MMU inatoa nafasi ya wazi ya kila mtu kaleta lililomsibu ili aweze kupata faraja ya moyo wake kupitia kwa mawazo mbali mbali ya wachangiaji.

Kwa upande wangu naamini kuwa hata wewe pia ni either ulikwisha tendwa (broken-hearted) Au uko ktk safari ya ku-recover. Hivyo basi ushauri wako ni muhimu ktk jambo hili.
 
Back
Top Bottom