Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Haaa haaa haaa,babu tatizo ni masaburi kuhamia magotin nitakuwa kituko! samahan Obuntu naona tushachakachua hapa si unaju huyu mzee keshachukua ubingwa wa kuchakachua na akikamta mjukuu hata kwenye sred ya mtu kuchakachua hakukwepeki,tusamehe bure!Yaani mijanaume yoooote hii mikware huku JF ukose mchumba?............ Kaogee magadi aisee!