<ooo> MMU: Kundi la Waliovunjika Mioyo Au Washauri?

Obuntu

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
510
34
Takribani miaka mitatu sasa nimekuwa msomaji mzuri sana wa hili jukwaa (MMU) na baada ya kupitia "threads" takribani 500 nimeona kuna kitu kimoja kinachofanana sana katika hizi "threads"... Nyingi ni za "Ulalamishi/Ushauri wa mahusiahano"!

Ningependa kufahamu,

Je, Inawezekana wachangiaji wengi au wapenzi wengi wa MMU ni wale waliokwisha kutendwa (broken-hearted) Au wengi wako katika safari ya ku-recover kutoka katika kutendwa Au wengine bado wapo katika kutendwa???

Nawakilisha:
 
one thing you should know, mahusiano au mapenzi ndiyo husababisha kuwepo amani au machafuko kati ya watu, familia na hata taifa. imagine wewe umfumanie rafiki yako na mpenzi/wako wako, patakalika. hivyo usishangae kuona watu wengi humo wakilalama au kuvunjika mioyo.
 
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).
 
Memba Wa MMU wao ni madaktari wa MMU hivyo wanajua mengi yenye mashiko yanayohusiana Mahusiano, Maisha na Urafiki.
 
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).
lol...:lol: ngoja wakusikie, wapo mbioni wanakuja!
 
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).
Huyo Husninyo nammezea mate we sana,ila anaonekana mjanja mjanja
 
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).[/QUOTE]

Mweeehhh shemeji ngoja waje wenyewe................
 
Mmu ni zig zag .com mambo yote yanawekwa wazi kama mtu unashaka na jambo unajimuvuvisha basi bila hiyana
watoto wa kike na kiume wanajimwaya na kutoa maushauri basi raha tu
wanaopata ahueni ya mambo zao haya.....
waliovunjika moiyo tupo na tuwasonga mbele
(tunapunguza mawazo yetu) , walio kwenye mahusiano wao ndo shangwe zinazidi

basi mshike mkono umpendaye ... njoo kati ucheze nae eeh ... ndo mpango mzima
 
Mmu ni zig zag .com mambo yote yanawekwa wazi kama mtu unashaka na jambo unajimuvuvisha basi bila hiyana watoto wa kike na kiume wanajimwaya na kutoa maushauri basi raha tu wanaopata ahueni ya mambo zao haya..... waliovunjika moiyo tupo na tuwasonga mbele (tunapunguza mawazo yetu) , walio kwenye mahusiano wao ndo shangwe zinazidi basi mshike mkono umpendaye ... njoo kati ucheze nae eeh ... ndo mpango mzima
thethethet!! zigzag.com!!!
 
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).


Sina hakika kama wamepitia huu uzi na wakaona hii kitu
Ila sijamwambia TF maana niko nae hapa
 
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).


Me love this......lol.... Big up B'...
 
lol...:lol: ngoja wakusikie, wapo mbioni wanakuja!

sema pole pole bana!

Sina hakika kama wamepitia huu uzi na wakaona hii kitu
Ila sijamwambia TF maana niko nae hapa

mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).[/QUOTE]

Mweeehhh shemeji ngoja waje wenyewe................

Me love this......lol.... Big up B'...
Haya Bishanga kuja hapa fasta kabla sijahamisha kikojoleo chako na kukiweka kwenye paji lako la uso
 
Takribani miaka mitatu sasa nimekuwa msomaji mzuri sana wa hili jukwaa (MMU) na baada ya kupitia "threads" takribani 500 nimeona kuna kitu kimoja kinachofanana sana katika hizi "threads"... Nyingi ni za "Ulalamishi/Ushauri wa mahusiahano"!

Ningependa kufahamu,

Je, Inawezekana wachangiaji wengi au wapenzi wengi wa MMU ni wale waliokwisha kutendwa (broken-hearted) Au wengi wako katika safari ya ku-recover kutoka katika kutendwa Au wengine bado wapo katika kutendwa???

Nawakilisha:



MMU ni watu walotoka katika jamii hio hio ambayo unaishi... Jamii ambayo no matter wee ni nani na una umri gani mradi ushafika umri wa kua na mahusiano basi wee ni mhanga wa all its related aspects.... Kufurahia mapenzi, machungu, kuvunjika, kutendwa, kutongoza, kufumania... na mambo kibao yahusuyo MAPENZI.... Haya ni mambo yanafanyika kila dakika. Na sababu hili ndo jukwa husika la kujimwaya na mambo hayo basi daima miaka nenda rudi hizi topics haziwezi badilika sababu leo huyu, kesho yule mradi siku zinaenda.....
 
Nimegundua kitu kimoja mtoa maada ni mwoga wa kuwaamini watu; na maadam nishakutana na watu kama wewe in real life naomba nikuambie kwa upendo hapa ni mahala maridhawa; hata kupingana na wakati mwingine kushambuliana kwetu hapa ni kwa nia moja ya kuujenga udugu uimara..........usiogope karibu na kama ulivyosema umekuwa uki"fuatilia" naamini ushaona ninani anakuafaa japo hata kukusikiliza.........
 
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).

lol...:lol: ngoja wakusikie, wapo mbioni wanakuja!

sema pole pole bana!

Kumbe na wewe bishanga ni mzee wa kuchakachua sredi? Nakuongeza kwenye ile list yangu ya Asprin na Klorokwini!
Kwa heshima ya Obuntu ambaye sredi zake huwa ni marufuku kuchakachuliwa, kuna mtu anaweza akaniambia leo ni Jumangapi na sheria za JF zinasemaje kwa watu wanaochakachua sredi siku ambayo si Ijumaa?

Pokeeni salamu toka kwa Jamhuri Kiwelu ambaye nimetoka kumuuzia zile raba mtoni nilizowaambieni zimenibana.

Baada ya kusema hayo, naomba mumwambie Obuntu kuwa ametuzalilisha sana wanachama hai na wa kudumu wa MMU.
Tumesubutu
Tumefanya
Tumeweza
Na tunaendelea na kuendelea kusubutu na kufanya.

Wote semeni AMINA.
 
Kwa heshima ya Obuntu ambaye sredi zake huwa ni marufuku kuchakachuliwa, kuna mtu anaweza akaniambia leo ni Jumangapi na sheria za JF zinasemaje kwa watu wanaochakachua sredi siku ambayo si Ijumaa?

Pokeeni salamu toka kwa Jamhuri Kiwelu ambaye nimetoka kumuuzia zile raba mtoni nilizowaambieni zimenibana.

Baada ya kusema hayo, naomba mumwambie Obuntu kuwa ametuzalilisha sana wanachama hai na wa kudumu wa MMU.
Tumesubutu
Tumefanya
Tumeweza
Na tunaendelea na kuendelea kusubutu na kufanya.

Wote semeni AMINA.
Hivi AMINA yule mhudumu wa pale Migombani Bar
 
Back
Top Bottom